WAFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGUNIA MOROGORO WASHANGAZWA KIWANDA KUFUNGWA BILA TAARIFA

Na Frank Kaundula,  MOROGORO WAFANYAKAZI wa kiwanda cha magunia cha TPM 1998 Ltd mkoani Morogoro wamejikuta katika hali ya taharuki baada ya kiwanda hicho kusimamisha uzalishaji kwa madai ya kutokuwa na imani na kampuni ambayo waliipangisha kufanya uzalishaji kiwandani hapo kama inauwezo wa kuendelea na uzalishaji Wakizungumza nje ya geti la kiwanda hicho wafanyakazi hao wamesema kuwa